Showing posts with label Female Zone. Show all posts
Showing posts with label Female Zone. Show all posts
Sunday, January 12, 2014
Anna Mwakasege A female Pilot to inspire eveyone!!!
I remember in 2005 at Agape Lutheran Junior seminary.We were prepared for our form two National exams and after so many hard preparations we made,we were told by finalizing a man of God Christopher Mwakasege will speak a word of prayer for us.
Yes he came,he spoke to us so many wise words as a preacher and as a father on the importance of education and encouraged us to stick to our dreams and work hard so as they become a reality...he futherly insipired by telling us of his daughter Anna who by then desired to be a pilot and she sticked into that and as Iam writting Anna is a pilot..
What is your dream??I have shared this story that was presented to us when the girl was just dreaming to be a pilot but she was determined and here she is..
Everyone created by GOD has power to be whatever he or she wants and do anything but what is needed is DETERMINATION and FOCUS
1.Determination will help you to be strong on what you want even when environment fail to hold what you have.It may be financial constrains,networks to support you but having that inward faith that Iam an achiever will keep you at place..Mwakasege told us that at times they would tell their daughter we can not afford that but she would say I will be a pilot and Iam the one so seeing her positive energy on her dream they had to do anything to nourish it and Iam sure today they are so proud of her.
Dear reader no one will support what you do if you yourself you are not sure of what you want to do..sometimes you need d to get started and those to help you meet you atleast steps ahead.
2.FOCUS this is very important in dream attaining..you can never serve two masters at time.stick to what is in your hand.Not today you want to sing,you start singing then you start catering or you do public speaking..tat will ruin your dream if you have chosen something stick into that untill it has come matured..This is especially to multitalented people..
May this post show you a start to your dream attainment as we begin our year I know yo have set goals or you had them long time Just Know That THEY ARE ATTAINABLE...
If Anna did it we are achievers too..
Friday, December 27, 2013
Maadui zetu watatu as ladies!!
ladies....
kuna vitu vinamiss na hatujavijua tu na ndio maana kila leo..tunakuwa wahanga wa fashion na hata mambo ya kuharibu ubinti na usichana wetu...
1.kutokujikubali-ni adui yetu mkubwa anayefanya tuparangane na kubadili rangi,kuongeza viungo bandia,kope nk...haya yote yameacha kansa na ulemavu kwa mabinti wengi but wengi wetu hatujifunzi,bado tunaendelea tu kufuata mkumbo..
hebu jikubali hivyo ulivyo,mwonekano wako ni muunganiko wa genes za wazazi wako sio rahisi hivyo kujibadili.Jifurahie wewe u msichana mrembo sana na jinsi hivyo ulivyo unavutia,pangilia tu mavazi yako na itunze hiyo ngozi ..
2.kutokuridhika na hali uliyonayo-huyu ni adui yetu pia,hakuna mtu anayependa shida kila mtu angependa kula kuku kwa mrija LAKINI unaweza kuvipata?iheshimu pesa unayopata kwa mzazi wako au mshahara wako kupitia well budgetting unaweza kula raha zote,hako kamhemko kakutaka usichonacho au usichoweza kupata ndio kinacholeta shida utaingia kwenye mambo ya kukupa fedha za chapchap zitakazokupa majuto na kukuharibia future.Nakumbuka nikiwa chuo some girls could just go and sleep to a man's home apate hela ya kutambishia wenzie,wengine walijiuza kabisa miili yao.
Ikiwa unasoma use that opportunity to effect your life for the betterment,uko kazini do the same.ukiwa na chako its better than desiring what is never in your ability.
3.kutokujitambua wewe ni nani na unataka nini out of this life ni adui yetu pia.tambua unachotaka katika maisha haya na ukisimamie kwa miguu miwili.Kila mtu ana ndoto na mipango yake katika maisha,ana aina ya mavazi na life style yake..jitambue unakotoka,ulipo na unapotaka kufika bila ya hivyo utakuwa bendera fata upepo.ukivuma huku unaenda..stand firm,stay focused usiyumbishwe.....
Kisses to you ladies ..
with God we are conquerers and world changers..
kuna vitu vinamiss na hatujavijua tu na ndio maana kila leo..tunakuwa wahanga wa fashion na hata mambo ya kuharibu ubinti na usichana wetu...
1.kutokujikubali-ni adui yetu mkubwa anayefanya tuparangane na kubadili rangi,kuongeza viungo bandia,kope nk...haya yote yameacha kansa na ulemavu kwa mabinti wengi but wengi wetu hatujifunzi,bado tunaendelea tu kufuata mkumbo..
hebu jikubali hivyo ulivyo,mwonekano wako ni muunganiko wa genes za wazazi wako sio rahisi hivyo kujibadili.Jifurahie wewe u msichana mrembo sana na jinsi hivyo ulivyo unavutia,pangilia tu mavazi yako na itunze hiyo ngozi ..
2.kutokuridhika na hali uliyonayo-huyu ni adui yetu pia,hakuna mtu anayependa shida kila mtu angependa kula kuku kwa mrija LAKINI unaweza kuvipata?iheshimu pesa unayopata kwa mzazi wako au mshahara wako kupitia well budgetting unaweza kula raha zote,hako kamhemko kakutaka usichonacho au usichoweza kupata ndio kinacholeta shida utaingia kwenye mambo ya kukupa fedha za chapchap zitakazokupa majuto na kukuharibia future.Nakumbuka nikiwa chuo some girls could just go and sleep to a man's home apate hela ya kutambishia wenzie,wengine walijiuza kabisa miili yao.
Ikiwa unasoma use that opportunity to effect your life for the betterment,uko kazini do the same.ukiwa na chako its better than desiring what is never in your ability.
3.kutokujitambua wewe ni nani na unataka nini out of this life ni adui yetu pia.tambua unachotaka katika maisha haya na ukisimamie kwa miguu miwili.Kila mtu ana ndoto na mipango yake katika maisha,ana aina ya mavazi na life style yake..jitambue unakotoka,ulipo na unapotaka kufika bila ya hivyo utakuwa bendera fata upepo.ukivuma huku unaenda..stand firm,stay focused usiyumbishwe.....
Kisses to you ladies ..
with God we are conquerers and world changers..
Wednesday, December 11, 2013
Kama Mama huyu aliweza unaweza pia!!!!
As life goes on and on kuna wakati unakuta mazingira yamekubana mpaka unaona ndoto ulizonazo hazitakaa kutimia milele,ashukuriwe Mungu ambaye huingilia kati pale akili zetu zinapofika ukomo na kuturudishia nguvu kama tai na hivyo kufanikisha tunayotamani yatokee.
Leo nitakukutanisha na rafiki yangu Jane Macha ni mama wa watoto wanne aliyefanikiwa kujiendeleza kutoka u-nesi wa daraja la chini mpaka kuwa PHD holder.Amekuwa pia mchapakazi sana hivyo kugombewa na mashirika ya afya hapa nchini na nchi jirani.
√Jane anasema alianza kazi kwenye hospitali ya mkoa akiwa nesi wa kawaida sana,alifika mahali alichoshwa na kazii hi na alitamani sana ajiendeleze kielimu,akaanza kusoma kidogo kidogo hapa nchini na baadaye kwenda nje kumalizia PHD.
√Siri kubwa ya mafanikio yake ni kutokukiri au kukubali kukatishwa tamaa maana anasema alibezwa sana ,we nesi unataka kusoma utaweza kweli??lakini yeye alitazama dhamira yake ya ndani kwamba licha ya maneno haya mimi ninataka nini???
√Pia maombi ni sehemu ya vitu vilivyompa kushinda,alimpa Mungu nafasi ya kumuelekeza afanye vipi mambo yake,na alidumu kumtolea sadaka pale anapomvusha kwenye masomo yake.
Na wewe pia unaweza kuwa chochote unachotaka kuwa ukiweka dhamira ya ndani kwamba iwe iwavyo na Mungu akiwa upande wangu nitafanikisha tu ninayoyatamani.
Usikubali au usiruhusu maneno ya watu yatie giza kwenye mikakati uliyonayo.
Mtegemee Mungu,pambana vilivyo upenye.Watu wote waliofanikiwa kama Jane walichukua maamuzi magumu,kuna mambo utatakiwa uyaache kufikia unakotaka,kuna watu itabidi wapungue ili usonge mbele.
Acha kujipa visingizio nimetoka familia maskini sijui nini na nini.Mungu huitazama nia ya mtu halafu hufungua milango ya kukufinance ndoto yako.apart from that utabaki tuu kulaumu.Jane akuhamasishe kwa leo.
#much love to you all.#
Leo nitakukutanisha na rafiki yangu Jane Macha ni mama wa watoto wanne aliyefanikiwa kujiendeleza kutoka u-nesi wa daraja la chini mpaka kuwa PHD holder.Amekuwa pia mchapakazi sana hivyo kugombewa na mashirika ya afya hapa nchini na nchi jirani.
√Jane anasema alianza kazi kwenye hospitali ya mkoa akiwa nesi wa kawaida sana,alifika mahali alichoshwa na kazii hi na alitamani sana ajiendeleze kielimu,akaanza kusoma kidogo kidogo hapa nchini na baadaye kwenda nje kumalizia PHD.
√Siri kubwa ya mafanikio yake ni kutokukiri au kukubali kukatishwa tamaa maana anasema alibezwa sana ,we nesi unataka kusoma utaweza kweli??lakini yeye alitazama dhamira yake ya ndani kwamba licha ya maneno haya mimi ninataka nini???
√Pia maombi ni sehemu ya vitu vilivyompa kushinda,alimpa Mungu nafasi ya kumuelekeza afanye vipi mambo yake,na alidumu kumtolea sadaka pale anapomvusha kwenye masomo yake.
Na wewe pia unaweza kuwa chochote unachotaka kuwa ukiweka dhamira ya ndani kwamba iwe iwavyo na Mungu akiwa upande wangu nitafanikisha tu ninayoyatamani.
Usikubali au usiruhusu maneno ya watu yatie giza kwenye mikakati uliyonayo.
Mtegemee Mungu,pambana vilivyo upenye.Watu wote waliofanikiwa kama Jane walichukua maamuzi magumu,kuna mambo utatakiwa uyaache kufikia unakotaka,kuna watu itabidi wapungue ili usonge mbele.
Acha kujipa visingizio nimetoka familia maskini sijui nini na nini.Mungu huitazama nia ya mtu halafu hufungua milango ya kukufinance ndoto yako.apart from that utabaki tuu kulaumu.Jane akuhamasishe kwa leo.
#much love to you all.#
Monday, December 9, 2013
Ladies lets bargain and reach reasonable solutions!!!
Kama mabinti tunakumbana na changamoto nyingi hasa tunapotaka kutimiza malengo na ndoto tulizonazo,tutamuomba MUNGU sana na kulia machozi mengii lakini kuna wakati unapaswa ujifunge kibwebwe HAPANA yako iwe hapana na usimamie maamuzi yako.
√wengi tumeharibu maisha yetu kwa maamuzi ya dakika chache na kuishia kuwa wenye majuto.Niliwaza jambo hili ikiwa ukienda dukani ukataka kununua nguo ya thamani sana au kusuka nywele za bei fulani utalalamika mpaka itapunguzwaa au wakikataa basi unaondoka na jibu huwa kama leo imeshindikana nitanunua wakati mwingine.
Imekuwaaje sasa kwenye mambo yanayogusa maisha yako unazubaa bila hata kubargain,unalazimishwa kufanya mapenzi ili usaidiwe mtihani au wimbo wako utoke studio na wewe unakubali pasi na kubishana au kukubali kwenda kujituma mwenyewe kwa kujisomea ili ule matunda ya jasho lako,au kusubiri milango mbadala wa kutokea kwenye ndoto zako.
Nikiwa binti pia nazielewa fika changamoto tulizo nazo ila wanaume hawawezi kutuheshimu ikiwa tunafungua milango kirahisi na kushindwa kusimamia mamb fulani yanayogusa maisha yako wewe binafsi kama binti.Maneno ya Mungu yanazungumzia kupewa akili na Mungu so kuna mambo yatakutaka utumie AKILI kuyahandle,yawezekana ulijinyima msifanye mapenzi akakuzidi nguvu mbona sasa anakushauri mfanye abortion unalegeza masharti na unakaribia kukubali.
√lets wake up sisi ni vyombo vya thamani vinavyotegemewa na Mungu,familia zetu na taifa hili.Tujifunze kusimamia mambo yetu mpaka yatokee njia za shortcut hazitatusaidia maana zitatuandalia majuto na maumivu tu.
•upo shule:kazana acha uvivu na kujilengesha upate marks za bure.
•upo kazini:chapa kazi huitaji kuutumia mwili wako kuongeza vyeo acha uwajibikaji wako uwavutie watu wakupandishe juu.
•una ndoto zako:si kila mkono utakaokunyookea uliko unataka kukusaidia kaa chini muulize Mungu usiwe na pupa ukijipa nafasi utagundua ni wa halali au fake.
#ninakuombea upate akili katika mambo yote na hata kama ulikosea neema ya Mungu bado ipo sana kukusaidia na utavuka kwa ushindi mkuu sana.
pokea ujasiri katika jina la Yesu wa kusimamia maamuzi yako na kuyatekeleza.
Subscribe to:
Posts (Atom)




